Mchange pia amewahi kuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema katika Jimbo la Kibaha Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, lakini akaangushwa na Mbunge wa sasa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Sylivester Koka.(ipp media).
Monday, January 7, 2013
CHADEMA YAMTIMUA MAKAMU MWENYEKITI WA BAVICHA
Kamati ya Tendaji ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo-Chadema (Bavicha), linadaiwa kumtimua uongozi na kisha kumvua
uanachama Makamu Mwenyekiti wake Taifa, Juliana Shonza, pamoja na
wanachama wengine wawili wa Baraza hilo
Mbali na Shonza, wanachama wengine wa Bavicha, ambao wamevuliwa
uanachama na Kamati Tendaji ya Bavicha, wametajwa kuwa ni waliokuwa
wagombea Uenyekiti wa Baraza hilo mwaka juzi, Habib Mchange na Mtela
Mwampamba.
Mchange pia amewahi kuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema katika Jimbo la Kibaha Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, lakini akaangushwa na Mbunge wa sasa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Sylivester Koka.(ipp media).
Mchange pia amewahi kuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema katika Jimbo la Kibaha Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, lakini akaangushwa na Mbunge wa sasa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Sylivester Koka.(ipp media).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment