Nyota muziki, siasa aliyejitosa kusaidia walemavu
“Huwa najisikia vibaya kuona walemavu na watu
wasiojiweza wakitaabika kwa kukosa mahitaji yao muhimu. Ndiyo maana
nikashawishika kuanzisha taasisi ya Victoria Foundation kwa nia ya
kuhakikisha kwamba nami nasaidia kadri ya uwezo wangu harakati za
kuwainua walemavu na wasiojiweza,” ndivyo anavyoanza kusema Mheshimiwa
Vicky Kamata, Mbunge wa Viti Maalum kutoka mkoani Geita (CCM) na msanii
nyota wa muziki wa kizazi kipya.
No comments:
Post a Comment