Thursday, January 10, 2013

VICKY KAMATA.,UBUNGE+MUZIKI

Mh.Vicky Kamata
Nyota muziki, siasa aliyejitosa kusaidia walemavu
“Huwa najisikia vibaya kuona walemavu na watu wasiojiweza wakitaabika kwa kukosa mahitaji yao muhimu. Ndiyo maana nikashawishika kuanzisha taasisi ya Victoria Foundation kwa nia ya kuhakikisha kwamba nami nasaidia kadri ya uwezo wangu harakati za kuwainua walemavu na wasiojiweza,” ndivyo anavyoanza kusema Mheshimiwa Vicky Kamata, Mbunge wa Viti Maalum kutoka mkoani Geita (CCM) na msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya.

No comments:

Post a Comment