Thursday, January 10, 2013

Kesi ya Papaa Msofe Yapigwa kalenda tena.

 


 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam jana imepiga kalenda
kesi ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara maarufu jijini, Marijani Abdubakari (50), ‘Papa Msofe’ hadi Januari 22, mwaka huu itakapokuja kutajwa tena.

Hakimu Mkazi Agnes Mchome, alihairisha kesi hiyo baada ya Wakili wa Serikali Ofmedy Mtenga, kuiambia mahakama kuwa upelelezi upande wa Jamhuri haujakamilika.

No comments:

Post a Comment