Thursday, January 10, 2013

AJALI YA BUNDA EXPRESS

Basi la Kampuni ya Bunda Express lenye namba za usajili T 782 BKZ, likiwa kwenye maji baada ya kuacha njia na kupinduka katika Kijiji cha Ngashe Wilaya ya Magu mkoani Mwanza wakati likitoka Bunda mkoani Mara kuelekea Mtukula Kagera jana. Ajali hiyo imeua watu wawili na kujeruhi wengine 22



1 comment: