Basi la Kampuni ya Bunda Express lenye namba za usajili T 782 BKZ,
likiwa kwenye maji baada ya kuacha njia na kupinduka katika Kijiji cha
Ngashe Wilaya ya Magu mkoani Mwanza wakati likitoka Bunda mkoani Mara
kuelekea Mtukula Kagera jana. Ajali hiyo imeua watu wawili na kujeruhi
wengine 22
A YEAR STARTS ON ITS WAY.... R.I.P those 2 who died
ReplyDelete